Latest Post

HIVI NDIVYO KONYAGI ILIVYO WAPIGA MSASA WABUNGE KUHUSU BIASHARA VIROBA

Written By Francis Godwin ni Iringa na matukio on Tuesday, June 18, 2013 | 4:12 AM




 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa, akionesha kinywaji cha Afrika Kusini kilichofungwa kwenye viroba kama ambavyo Konyagi inafanya hapa nchini.Vinywaji kama hivyo vipo karibu nchi nyingi Ulimwenguni.


 Meneja wa Masoko wa Konyagi, Joseph Chibehe akielezea jinsi vinywaji vyao vinavyochangia mapato ta serikali

 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo,Maji na Mifugo, Said Nkumba akichangia mada hiyo kwa kuviasa baadhi ya vyombo vya habari kuacha kuandika habari za kudidimiza viwanda vya haba nchini. Kulia ni Idd Azzan Mbunge wa Kinondoni na Dunstan Kitandula ambaye ni Makamu Mwenyekiti was  Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara.

                               Bidhaa mbalimbali zikiwa zimfungwa kwenye viroba

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa () akifafanua jambo katika semina ya wajumbe wa Kamati mbili za Bunge za Uchumi,Viwanda na Biashara  pamoja na Kilimo,Maji na Mifugo kuhusu baadhi ya vyombo vya habari vyenye uhusiano na nchi jirani vinavyotumika kupiga vita viwanda vya ndani kikiwemo cha Konyagi. Semina hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki mjini Dodoma.

 Naibu Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makala, akichangia mada katika semina hiyo. Kushoto ni Naibu Waziri wa TAMISEMI, Kassim Majaliwa na Said Nkumba.

 Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara, Dunstan Kitandula akichangia mada hiyo.

 Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa (kushoto) akimkabidhi jezi Idd Azzan kwa ajili ya timu ya Bunge iliyocheza na timu ya Konyagi kwenye Uwanja wa Jamhuri, mjini Dodoma Jumamosi

 Mgwassa akikabidhi jezi ya timu ya Konyagi kwa Idd Azzan tayari kwa mtanange na timu ya Bunge

 Meneja Masoko wa Konyagi, Joseph Chibehe (kushoto) akimkabidhi W. Zuberi  msaada wa vyerehani, ambavyo alivipokea kwa niaba ya BNaibu Spika wa Bunge, Job Ndugai

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora, George Mkuchika, akisalimiana na timu ya Bunge muda mfupi kabla ya pambano lao na timu ya Konyagi, kwenye Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.



 George Mkuchika akisalimiana na wachezaji wa timu ya Konyagi

 Wachezaji wa timu ya Bunge wakisalimiana na wachezaji wa Konyagi

 Kikosi cha timu ya Bunge kilichochuana na Konyagi

Kikosi cha timu ya Konyagi kilichomenyana na Timu ya Bunge(picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com

SHABIBY LINE NI USAFIRI WA RAHA NA UHAKIKA KWA DAR, ARUSHA,DODOMA,MOROGORO N.K HAKUNA KUSHUKA KICHAKANI KUCHIMBA DAWA HAPA CHOO NDANI YA BASI

Abiria  wakiwa  ndani ya basi la Shabiby Line ambalo ni  Full Luxury lenye  choo ndani na  huduma  nyingine  zote ndani
Shabiby Line linamadereva  wazoefu na makini katika barabara
Hii ni  choo iliyopo ndani ya basi hilo la Shabiby Line  Full Luxury
Mabasi yote  yawafanyakazi  wazoefu na  abiria  wengi  hupenda  kusafiri na kampuni ya  Shabiby  Line
Kila  wakati  safiri na Shabiby Line kwa  usafiri  wa uhakika na  salama zaidi
Shabiby Line  ni usafiri  wa uhakika na  salama usisumbuke kuuliza  usafiri ,uliza Shabiby Line ndilo  jibu lako
 Hakuna   shida ya kuomba  kushuka  kuchimba dawa choo  cha  kisasa ndani ya basi kipo 

Ratiba kamili ya Shabiby Line( Simu 0654 777774)

DAR- DOM 
Saa 12.00 Asubuhi
Saa 1.30( AINA  YA  BASI NI  SEMY LUXURY)
saa  3;10
4.10

Saa 5;20 (AINA YA BASI NI FULL LUXURY)
Saa 8;50 Semy LUXURY
DODOMA - SINGIDA ,ARUSHA  (AINA YA BASI  SEMY LUXURY )
kuondoka  saa 12 ;00 asubuhi 

DOM- MORO, CHALINZE , MOSHI NA ARUSHA 
Kuondoka  saa 12.00 Asubuhi Aina ya gari Semy Luxury (SIMU 0654 777773

 Kwa  mawasiliano  zaidi kwa Gairo Makao makuu 
Tel 0654 777772 DOM  0654 777774, DAR 0719777779 ARUSHA 0715422222

KARIBU  SASA  KATIKA  USAFIRI   SALAMA  WA  SHABIBY LINE USISUMBUKE KUULIZA USAFIRI ULINZA  SHABIBY KILA SIKU NA KILA  WAKATI  MTEJA KWETU NI SEHEMU YA FAMILIA 
........................................................................................................
 Shabiby ambaye ni mmiliki wa Kampuni ya Shabiby Line Bus Services, yenye mabasi ya Shabiby Line ameingiza mabasi 20 yenye uwezo mkubwa kuliko mwanzo.

Meneja usafiri wa Shabiby Line, David Isack Chitemo alisema: “Mabasi yao  ni ya uhakika, full air condition, yana vyoo, yamefungwa kipimo cha kudhibiti mwendo kasi. Kila basi lina madereva wawili, kwa hiyo usafiri ni uhakika.

“Usalama wa abiria ni asilimia 100. Abiria akiugua anatibiwa na kampuni yetu, ikitokea bahati mbaya mtu anapoteza maisha safarini, gharama za kusafirisha maiti zinafanywa kwa gharama ya kampuni yetu.”

Mbali na hilo, Shabiby ambaye ni Mbunge wa Gairo (CCM), amedhamiria kufanya makubwa kwenye zaidi katika sekta ya  usafiri nchini Tanzania na  kuwataka watanzania kuendelea  kujivunia kampuni  hiyo ya  kizalendo

.

MSANII DAYNA APAGAWISHA ONYESHO LA REDD'S MISS MOROGORO ,YUPO JUKWAANI SASA -LIVE

Written By Francis Godwin ni Iringa na matukio on Saturday, June 15, 2013 | 2:58 PM













HAWA NDIO WAMEINGIA REDD'S MISS MOROGORO TANO BORA


kutoka kulia ni  Pendo  David, Saida Khamis,Ummy Mohamed ,Sabra Ismail na Musne Abdul

Matangaza haya  kwa udhamini  wa NAF Beach Hotel Mtwara  ipo  mbioni kufunguliwa
Hii ndio  Hotel ya  Kisasa  ya  NAF Beach Hotel  iliyopo  Mtwara  na  ipo mbioni kufunguliwa  hivi karibuni ,NAF Beach Hotel 
SSL20260naf 3
NAF BLUE VIEW HOTEL IPO MTAA WA SINANI MANISPAA YA MTWARA/MIKINDANI
SSL20315SSL20255
INATOA HUDUMA ZA MALAZI,CHAKULA PIA INA CHUMBA MAALUM CHA MAZOEZI(GHYM)
naf 4SSL20313
AIDHA INATOA HUDUMA ZA KUPOKEA WATALII MBALIMBALI WANAOFIKA MKOANI
HUMO KUPITIA KAMPUNI YA NAF BLUE TOURS
WOTE MNAKARIBISHWA...
IPO JIRANI NA STAND KUU YA YA MABASI MKOANI MTWARA naf 6 WASILIANA NASI
P. o Box 179 Mtwara
Tel. 0232334465 Fax 0232334466
mobile;0776467066/ 0683467066
Email;
nafblueviewhotel@gmail.com

MCHUJO WA TANO BORA SASA KATI YA WAHA NANI KUINGIA TANO BORA?




REDD'S MISS MOROGORO NA VAZI LA JIONI

Matangaza haya  kwa udhamini  wa NAF Beach Hotel Mtwara  ipo  mbioni kufunguliwa
Hii ndio  Hotel ya  Kisasa  ya  NAF Beach Hotel  iliyopo  Mtwara  na  ipo mbioni kufunguliwa  hivi karibuni ,NAF Beach Hotel  leo   kuwa  wadhamini wa  onyesho la Redd's Miss  Morogoro ambapo  warembo 10   wa  ukweli  kusaka taji  hilo
SSL20260naf 3
NAF BLUE VIEW HOTEL IPO MTAA WA SINANI MANISPAA YA MTWARA/MIKINDANI
SSL20315SSL20255
INATOA HUDUMA ZA MALAZI,CHAKULA PIA INA CHUMBA MAALUM CHA MAZOEZI(GHYM)
naf 4SSL20313
AIDHA INATOA HUDUMA ZA KUPOKEA WATALII MBALIMBALI WANAOFIKA MKOANI
HUMO KUPITIA KAMPUNI YA NAF BLUE TOURS
WOTE MNAKARIBISHWA...
IPO JIRANI NA STAND KUU YA YA MABASI MKOANI MTWARA naf 6 WASILIANA NASI
P. o Box 179 Mtwara
Tel. 0232334465 Fax 0232334466
mobile;0776467066/ 0683467066
Email;
nafblueviewhotel@gmail.com
 
blog designer Hoseaplatnum
Copyright © 2013. MATUKIO DAIMA - All Rights Reserved
Template Created by Hoseaplatnum Published by Francis Godwin
Proudly powered by FREE COMMUNITY MEDIA