Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisoma hotuba yake wakati akizindua rasmi Jukwaa la Uchumi wa Kijani, litakaloendelea kwa siku tatu Mkoani Iringa. Uzinduzi huo umefanyika leo Mei 8, 2012, katika Ukumbi wa Shule ya Msingi Mtakatifu Dominic Savio, mkoani Iringa. Picha na Muhidin Sufiani-OMR
MAKAMU wa rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Mohamed Gharib Bilal jitihada zaidi kufanyika ili kupunguza kasi ya umasikini katika jamii nchini.
Alisema kuwa ili kuharakisha maendeleo nchini jitihada za makusudi za kupunguza umaskini na kuleta maendeleo lazima zifanywe kwa kuzingatia uhalisia wa mambo ikiwa ni pamoja na kulenga wakazi na uchumi kwa wananchi wa vijijini. Makamu wa Rais aliyasema hayo mjini Iringa leo wakati akizindua jukwaa la Uchumi wa Kijani jana katika ukumbi wa St.Dominic Savio .
Dkt Bilal alisema kuwa upo uhusiano mkubwa kati ya watu maskini hasa wa vijijini na mazingira kutokana na watu wa vijijini huishi karibu na mazingira ya asili na hutegemea rasilimali za ardhi, maji na misitu kwa maisha yao.
"Mara nyingi matumizi hayo yamezisababishia hasara jamii ikiwa ni pamoja na upotevu wa maisha na kipato"
Alisema kuwa pamoja na kuzungumzia uharibifu wa mazingira unaofanywa vijijini bado ni tatizo na hakuna budi jamii kuendelea kuelimishwa zaidi .
Bilal alisema kuwa, masuala ya mazingira mijini pia ni muhimu kuzingatiwa kutokana na maeneo mengi ya miji hukabiliwa na changamoto za ubadilishaji wa matumizi ya ardhi kunakoendana na ukataji wa miti, uchimbaji mawe na pia ukaushaji wa ardhioevu kwani mambo hayo huchangia kwa kiasi kikubwa katika mabadiliko ya tabia ya nchi.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya UONGOZI Profesa Joseph Semboja alisema kuwa amepata faraja kuona idadi kubwa ya watunga sera, watoa maamuzi na viongozi mbalimbali wamedhibitisha kushiriki katika uzinduzi wa jukwaa la uchumi wa kijani.
Alieleza kuwa ukuaji wa uchumi endelevu ndio njia pekee ya kufikia ustawi wa kudumu kwani jukwaa hilo linalengo la kutoa njia madhubuti kwa viongozi wa serikali, sekta binafsi na asasi za kiraia pamoja na wote watakaochagua kufuata mkondo huo.
Aidha Naibu waziri wa kilimo, chakula na ushirika Adam Malima ameahidi kutoa ushirikiano kwa tasisi hiyo ili kukabiliana na tatizo la uharibifu wa mazingira ambao unapelekea mabadiliko ya tabia ya nchi.
Furahia usiku wako ndani ya Fan city lodge ipo Manispaa ya Mtwara/Mikindani Maeneo ya Rahaleo jirani na ofisi za TRA mkoa waMtwara Ni Lodge ya kisasa mtwara /Mikindani ukifika utaipenda zaidi Mwonekano mzuri wa Lodge hii ni heshima kubwa kwa thamani ya fedha zako Kila mmoja hufurahia huduma zetu ukifika hapa hutapenda kufikia Lodge nyingine uwapo Mtwara Huduma za za mazoezi(GYM) pamoja na INTERNET wakati wote uwapo ndani ya chumba chako Vitanda ni vya kisasa hakuna mfano Fan city lodge ipo Manispaa ya Mtwara/Mikindani Maeneo ya Rahaleo jirani na ofisi za TRA mkoa waMtwara
Wanatoa huduma za malazi,chakula na Usafiri wa ndani na nje ya mkoa ni pacha na Naf Blue view hotel
huduma za za mazoezi(GYM) pamoja na INTERNET wakati wote uwapo lodge
Waweza kuwasiliana kwa namba 0652 295186 na 0788 030504 MTWARA... WOTE MNAKARIBISHWA KUPATA HUDUMA BORA NA ZA KISASA ZAIDI SAWA NA MALIPO ULIYOTOA
BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI HILI HAPA , LUKUVI APETA , MAKALA ,Dkt MAHENGE ,DKT MGIWA AULA
Rais Dkt Jakaya Kikwete
Mbunge wa jimbo la Ismani Iringa Wiliam Lukuvi ambaye ameachwa tena katika nafasi yake ya uwaziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera na uratibu wa bunge
mbunge wa jimbo la Makete mkoa mpya wa Njombe Eng. Dr.Binilith Mahenge, (kushoto) ambaye ameteuliwa kuwa naibu waziri wa maji akiwa na mkuu wa wilaya Dkt Norman Sigalla Mbunge wa jimbo la Kalenga Dkt Wiliam Mgimwa aliyeteuliwa kuwa waziri wa fedha na uchumi leo ,hapa akisaini hundi kwa ajili ya kuchangia ujenzi wa shule ya sekondari Lyandembela jimboni kwake Normal0falsefalsefalseEN-USX-NONEX-NONEMicrosoftInternetExplorer4
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
ORODHA YA MAWAZIRI NA NAIBU MAWAZIRI
MAWAZIRI
1. OFISI YA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu)
Ndugu Stephen M. Wasira, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (Utawala Bora)
Ndugu George Mkuchika, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (UTUMISHI)
Ndugu Celina Kombani, Mb.,
2. OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MUUNGANO)
Ndugu Samia H. Suluhu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (MAZINGIRA)
Dr. Terezya P.L. Huvisa, Mb.,
3. OFISI YA WAZIRI MKUU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji)
Ndugu Mary M. Nagu, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Hawa Ghasia, Mb.,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu na Bunge)
Ndugu William V. Lukuvi, Mb.,
4. WIZARA
Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Ndugu Samuel J. Sitta, Mb.,
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Ndugu Shamsi Vuai Nahodha, Mb.,
Waziri wa Ujenzi
Dr. John P. Magufuli, Mb.,
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii
Dr. Hussein A.H. Mwinyi, Mb.,
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Dr. Shukuru J. Kawambwa, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Sophia M. Simba, Mb.,
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Bernard K. Membe, Mb.,
Waziri wa Katiba na Sheria
Ndugu Mathias M. Chikawe, Mb.,
waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Emmanuel Nchimbi, Mb.,
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Dr. David M. David, Mb.,
Waziri wa Kazi na Ajira
Ndugu Gaudentia M. Kabaka, Mb.,
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Prof. Makame M. Mbarawa, Mb.,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Prof. Anna K. Tibaijuka, Mb.,
Waziri wa Maji
Prof. Jumanne Maghembe, Mb.,
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum
Prof. Mark Mwandosya, Mb.,
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Eng. Christopher Chiza, Mb.,
Waziri wa Uchukuzi
Dr. Harrison Mwakyembe, Mb.,
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Dr. Fenella E. Mukangara, Mb.,
Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Khamis Kagasheki, Mb.,
Waziri wa Viwanda na Biashara
Dr. Abdallah O. Kigoda, Mb.,
Waziri wa Fedha
Dr. William Mgimwa, Mb.,
Waziri wa Nishati na Madini
Prof. Sospeter Muhongo, Mb.,
5. NAIBU MAWAZIRI
OFISI YA RAIS
HAKUNA NAIBU WAZIRI
OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais
Ndugu Charles Kitwanga, Mb.,
7. OFISI YA WAZIRI MKUU
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Majaliwa K. Majaliwa, Mb.,
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)
Ndugu Aggrey Mwanry, Mb.,
8. WIZARA MBALIMBALI
Naibu Waziri wa Kazi na Ajira
Dr. Makongoro M. Mahanga, Mb.,
Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika
Ndugu Adam Malima, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi
Ndugu Pereira A. Silima, Mb.,
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara
Ndugu Gregory G. Teu, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi
Ndugu Benedict N. Ole-Nangoro, Mb.,
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
Ndugu Mahadhi J. Maalim, Mb
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,
Ndugu Goodluck J. Ole-Medeye, Mb.,
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto
Ndugu Ummy A. Mwalimu, Mb.,
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi
Ndugu Philipo A. Mulugo, Mb.,
Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Dr. Abdulla Juma Abdulla, Mb.,
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
Ndugu Lazaro Nyalandu, Mb.,
Naibu Waziri wa Ujenzi
Ndugu Gerson Lwenge, Mb.,
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii,
Dr. Seif Suleiman Rashid, Mb.,
Naibu Waziri wa Nishati na Madini
Ndugu George Simbachawene, Mb.,
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia
Ndugu January Makamba, Mb.,
Naibu Waziri wa Uchukuzi
Dr. Charles J. Tizeba, Mb.,
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
Press Release May 2nd, 2012 Transforming societies central to 2012 World Press Freedom Day celebrations The Media Institute of Southern Africa (MISA) Tanzania Chapter in association with the Tanzania Media Fund (TMF) are organising a World Press Freedom Day commemoration event to be held at Mlimani City Hall on the 3rd of May, 2012. The event is expected to start at 08:30am and is open to all journalists. Deputy Speaker, Parliament of Tanzania Hon. Job Ndugai will bless the proceedings as the guest of honor. This year’s celebration carries the theme ‘Media Freedom Helping to Transform Societies’. Among other things, the event will be marked with a dialogue that will focus on how to transform Tanzanian media with presentations from some of the outspoken media personalities; like Ayub Rioba from the School of Journalism and Mass Communication (SJMC), Ms. Rosemary Mwakitwange from the East African Business Centre, Ms Suzan Mungy, Director of Events at Tanzania Broadcasting Corporation (TBC) and Social Affairs analyst Mr Deus Kibamba. Stakeholders will discuss how the media industry in the country performs and suggest solutions on how it can be improved in a way that can transform societies for the better. There will be testimonies from some of the journalists who have been victims of media freedom violations and a book that contains articles on the state of media in Africa South of Sahara, known as So This Is Democracy will be launched. Some of the journalists and photographers will display their works. 2 Other stakeholders present will be members of the academia, government ministries and agencies’ representatives, media owners, development partners and members of parliament who are ardent users of the new media. MISA-Tanzania (MISA-TAN) is one of the Media Institute of Southern African (MISA) chapters established in 1997 as a non-governmental organization (NGO) under society’s ordinance, 1954 with the major objective of promoting a free, independent and pluralistic press in service of democracy, good governance and development in the country. One of the responsibilities of MISA-Tanzania is to publicize the WPFD commemorated each year on May 3rd to recognize the role of free, independent and professional media in promoting democracy and good governance, as expressed in Article 19 of the Universal Declaration of Human Rights. End. Released by the information and research department MISA-TAN
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal na Balozi wa Korea nchini, Young-Hoon Kim, wakikata utepe kwa pamoja kuashiria uzinduzi rasmi wa Chuo kipya cha Ufundi Stadi cha VETA kilichojengwa Mkoa wa Lindi.Uzinduzi huo ulifanyika jana. Kulia ni Mkurugenzi wa VETA, Zebadia Moshi.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akibonyeza 'Alam', kuashiria uzinduzi rasmi wa Chuo kipya cha Ufundi Stadi cha VETA kilichojengwa Mkoa wa Lindi. Uzinduzi huo ulifanyika jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipanda mti wa kumbukumbu katika eneo la Chuo cha Ufundi Stadi cha VETA baada ya kuzindua rasmi chuo hicho kilichojengwa Mkoa wa Lindi. Uzinduzi huo ulifanyika jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,akiongozana na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Shukuru Kawambwa, Balozi wa Korea nchini, Young-Hoon Kim na Viongozi wa VETA, wakati akitembelea na kukagua baadhi ya majengo mapya yaliyojengwa ya Chuo cha Ufundi Stadi cha VETA, baada ya kuzindua rasmi chuo hicho mkoa wa Lindi jana.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Ghariub Bilal,akisikiliza maelezo kuhusu jinsi ya ufundishaji wanafunzi kwa kutumia mtambo wa kufua Umeme, kutoka kwa Mwalimu wa Umeme Veta, Majolo Mwigole, wakati Makamu alipofika kuzindua Chuo hicho cha VETA mkoa wa Lindi jana. Picha na Muhidin Sufiani-OMR.